Monday, October 29, 2012

WAMETOKAAAJE!! GOODLUCK MSOFFE WEDS ANNA MRUTU...


Furaha ya maisha kwa utaaamu ni kiapo cha ndoa. Palee kwa Altare..Mambo ya YES I DO! Mtanashati wa ukweli Bw Goodluck Msoffe akazungumza kwa umakini na furaha kubwa sana maneno hayo mbele ya kadamnasi na masikio yenye utulivu ya Bi Anna Mrutu yakasawajika kabisaa. Hapo ilikua ndani ya kanisa la RC la Roho Mtakatifu pale Tabata na baadaye kujikakamua ndani ya ukumbi maarufu pale Tabata, NEXT DOOR. Kiyoyozi cha haja kikipuliza kwa utuliiiivu na kuigeuzia mandhari nzuri ya ukumbi huo ikafanana na ufukwe wa bahari nyakati za jioni hivi. Wapare kutoka pande zote mbili wenye asili inayofanana wakajiachia kwa furaha. Ni mambo ya "ambiereee...mcheku eeeeh..."

Dj Ommy akiwa na kumbikumbu za kwao Upareni apo, akagawa utamu wa kutosha wa burudani. McNdimbo, siku hiyo akiwa katokea katika Graduation yake ya Masters katika Linguistics pale Mlimani City na kupitilizia apo ukumbini, alikua na kila sababu ya kufanya kazi vizuri. That was so beautiful. Tiririka nasi hapa japo kwa chaaati.

Colours; Dark Blue na Silver

Bw Goodluck Msoffe na mkewe Bi Anna wakiwa na wasimamizi wao Bw Richard na Mkewe Bi Irene



Wazazi wakiburudika mara baada ya kuingia ukumbini


Ze totoz

Maids wajikwaitisha apo

Wasimamizi wakiingia

Mdau akiwakaribisha maharusi

Ni Rrrrhaaaaa

Wow

Sista Anna akikabidhi shughuli mikononi kwa Bwana

Wadau

Ze Kamati

Lovely

Champaigne






My Beautiful!

Na sisi apa je!

Keki tym

Kwa wazazi



We are the world!

The Queen

Na  My Bestito


Mshikemshike

Sisi ndo sisiiii

Bye byeeeee!!




Tuesday, October 23, 2012

Ni Rrrrrhaaaah! Jonathani Byeitima Weds Nora Mganga @ Mikocheni Resort...

Ni pazuriiii...uku wanyama wa kuchonga na pale maji yanamwagika kiufundi kabisa. Yaani wajiskia kweeeli upo eneo la kifahari. Panaitwa MRC - Mikocheni Resort Centre...Bw Jonathan na Bi Nora wakajimwayamwaya kwa furaaaha baada ya Kufunga ndoa takatifu. Wakiwa wamependezeshwa na rangi safi za upendo...kitu cha Red na Black. Shughuli ilikua na wadau wa kutosha kama mia 5 na hamsa! Ni kula, kunywa na burudani,,,,,Full kinyambo apo..Chezea Karagwe wewe!
Haikua taabu saana wadau kujua hapo wamekuja kusababisha tabasamu la maharusi mwanzo-mwisho! Wadau kutoka kila kona ya jiji na wengine kutoka huko huko Karagwe wakatia timu. Tukaanza na Uhondo wa Kwaito...mara Chop my Money halafu baadaye Maharusi wakaja na uhomdo wa FOREVER kutoka kwa P-Square....I will take you under world to the place you have never been before..foreever!! I like it..I really really like it!!...
Wee...Utamu mpaka bhaaaasi! Songesha nasi hapa japo kwa kuonja...

Colour; Black & Red

Decor's

Ze wanyamaz

Seating plan

MRC

Wow

Mambo ya Mila za Kinyambo



Ze Totoz

Ze maids & Groom's men

Wasimamiz; Bw Mtume na mkewe Bi Leticia

Maharusi

Apo Jee

Mwenyekiti akitambulisha Wanakamati

Ze Kamati

Mtanashati Jonathani na Mkewe Nora na Wapambe; Mtume na Leticia wakiwa kwa poz

Utambulisho



Mjikeki

LISHA NIKULISHEEE



Ze wazazi