Monday, January 14, 2013

Don't Miss this... Gaspardus Gastus Mwombeki Weds Flavia GasparRutahindulwa @ Kwalalumpa, Sinza

Maneno mataaam ya wimbo mzuri wa Me & U wa Ommy Dimpoz yalirindima katika anga za ukumbi maarufu pale Sinza, Kwalalumpa, ambapo Bw Gaspardus akiingia na kipenzi chake Bi Flavia. Vifijo na nderemo viakasikika kutoka kila pannde za ukumbi huo. Marafiki zake na Gaspar wa enzi za useminarini kule Rubya Seminary, mashabiki wenzie wa soka wa ofisini wanajiita FORUM, wanaisimu na Lugha za kigeni kutoka UDSM na wengineo wakampa kampani ya kutosha.

Ndugu na Jamaa kutoka kuleee Bukoba vijijini na hasa vijiji vya Bwanja na Rukulungo wakaja na utamu wa kutosha wa Dereve Babili. Kwa kweli, maambo yalikua baam baaam! Dj Smol akiweka vitu adimu na mdau wa haja, The Blogger, nikawapa vionjo vya kidigitali vya 2013! Weeee... Burdaaaaani.

Kwa uchache, songa nasi kwa picha za matukio.

Color combo; Royal Blue na Pink Rose





















































Mr Taji na Mr Rutechura kwa mbaaaali


Mr Kelvin na wadau wa FLL wa UDSM


Mjasiriamali, Bw Asheri akiteta jambo


Wadau...


Maids













Jerusalem Vibrant Brothers...


Ze mkuki














Mkuu wa Idara ya FLL ya UDSM, Dr Upor akitoa neno kwa ufupi kwa ajili ya maharusi










Wazee wa FORUM wakiongozwa na Faraja Kristomus