Maisha ni furaha, ndoa ni kuvumiliana?? nani kasema? Ndoa ni kupendana banaa...anza maisha na rafiki yako kipenzi haswaaaa; Cheki Zephania Kiula hapa akiwa na rafiki yake kipenzi, mkewe Bi Fedah....tiririka japo kiduuuuchu..
![]() |
| Zephania na Kipenzi chake Fedah!! Chezeiyaaa |
![]() |
| Ametokelezeiyaaa!! |
![]() |
| Kama Tausi eeeh!! |
![]() |
| Tabasam lako tuuu!! |
![]() |
| Wakiwa na mashosti....!! Wapi Vivian!! |





No comments:
Post a Comment