Friday, August 3, 2012

Kitu Wedding cha Zephania & Fedah!! Weeeeeee!

Maisha ni furaha, ndoa ni kuvumiliana?? nani kasema? Ndoa ni kupendana banaa...anza maisha na rafiki yako kipenzi haswaaaa; Cheki Zephania Kiula hapa akiwa na rafiki yake kipenzi, mkewe Bi Fedah....tiririka japo kiduuuuchu..

Zephania na Kipenzi chake Fedah!! Chezeiyaaa
Ametokelezeiyaaa!!

Kama Tausi eeeh!!

Tabasam lako tuuu!!

Wakiwa na mashosti....!! Wapi Vivian!!


No comments: