Monday, April 15, 2013

Noela Kareen Katuga Send Off @ Mwenge Social Hall

Kukiwa na mchanganyiko wa rangi za yellow, aqua green na hot pink, Mrembo wa kupendeza akatokeza kwa mashamsham ajisogea taraatiiiib; Noela Kareen Katuga akiagwa rasmi ndani ya ukumbi maarufu- Mwenge Social Hall.

Ilikua raha tu. mziki safi usioumiza masikio, mdau asiye na maneno ya kuchosha....ila mwenye sauti ya biashara na uwezo wa kuburudisha wa hali ya juu, akawapa wananchi ile kitu roho inapenda.

Mila halisi za kihaya zikafuatwa na wachagga wale katika hali ya kukamilisha uhondo ili waweze kukabidhiwa binti bila matatizo.

Burudani za asili kutoka kwa Levina na kikundi chake cha Senene Entertainment ambao walimsindikiza bi harusi wakiwa kama groom's men na baadaye wakatoa show ya hatari ya kihaya....makhirikhiri na sarakasi za haja haswaaa.

Watanashati nao hawakubaki nyuma; Jerry, James na Brown almaarufu Vijana wa Zunguka wakaja na uhondo wa Show safi ya Zunguka...yote hii ni katika kukamilisha ile kauli mbiu yetu "Your satisfaction is our Achievement"

Fuatana nasi kwa picha hapa

Bi Noela (kulia) na shostyto; Bi Sauda

Decor






Dj Salim


Mjikeki


Mama Mzaa chema; Mama Noela


wazazi


Audience


Unawowa kwa wahaya


Wakapokelewa kwa heshima


Wakwe


Ze Mdau!


Apo je?


Tumedhamiria


Mshenga; Mr Njaidi akijibu maswali ya hatari kutoka kwa Mjomba!


Mshenga akimtambulisha Bwana harusi


Bi harusi akaja sasa




Mnanionaaaa!!


Akasindikizwa na wataaaluma




Mshikemshike






Mdau akimnong'oneza jambo Mwenyekiti


A minute of silence




Champaigne












"Shosti, umewaona mabest kule nyuma wa VISIMA?"


Keki Tyme






















Kaka umetokelezeiyaaa


Senene Entertainment




Za Chihaya izo


GRM Crew wakiwajibika


Jerry


Mama akitoa nasaha kidigitali zaidi




Ze wadauz


Uko wapiiii...whre u r


kumbe upo hapaaaa


Onja hiii kipenzi; upendo wangu kwako


Tamu ee


tumefurahi woooote hapa; umeona ee


Wewe ndiweee chaguo la moyo wangu eee


Wewe ndiwe unaefaa kuwa mume wangu eee


Nataka watu wote wajue kua umewahiwa.....








Acha mi niringe naaweeee


Sarakasi umoooo




Makhirikhiri


Watanashati; JJB




Wazee wa Zunguka

No comments: