Wednesday, September 18, 2013

William Kaposwe Weds Maria M'bade....Picolo Beach Hotel

Ukumbi ukiwa na nyuzi joto chache za kuwezesha waalikwa kujisikia kma wako nje ya jiji la Dar es Salaam, pembezoni mwa bahari ya Hindi... uwepo wa Mungu ukijidhihirisha na kuwapa faraja maharusi hao; Bw William Kaposwe na kipenzi chake Maria,wakafunga pingu za maisha pale Nayoth Church na kujimwaga hapo Grand Hall-Picolo Beach Hotel. Wakisindikizwa na marafki zao wa ukweli Bw Allen na mkewe Victoria, wana wa Mwandosya.

Kazi nzuri na burudani ya muziki ikidondoshwa na Respect Djs, chini ya utaalam wake Dj Pimbi ikawaweka katika kilele cha burudani wageni na familia zile. Kwa kuheshimu imani ya maharusi, familia na wageni wale, crew yetu ya burudani ikagawa full gospel style mwanzo mpaka mwisho wa sherehe ikwa na exceptions kidogo katika mtoko halisi wa kwaito.

Hakika burudani ilifika mahali pake...hii ndo raaaha ya McNdimbo Crew ktika kuhakikisha slogan yetu yafikiwa na kuboreshwa kila kukicha; YOUR SATISFACTION IS OUR PASSION!

Songa kwa picha hapa...

Colours: Aqua Green, Hot Pink na Baby Yellow

 










































































































No comments: