Wednesday, April 17, 2013

Quality Centre: Paskal Mwaja Agonga Nusu Karne!

Raha ya kuishi ni kuishi tuuu....kula vizuri, lala vizuri na uishi kwa upendo na watu. Hizo ni baadhi tu ya sababu za kuishi miaka mingi. Paskal Mwaja, mtu wa watu huyu, aligota miaka 50 juu ya alama siku ya tarehe 13, April, 2013. Hakuona ajizi kwa nini asijumuike na ndugu, jamaa na marafiki apo BNN Restaurant ndani ya jengo lenye mvuto na lenye biashara za kimataifa, mbadala wa Mlimani City; Quality Centre!

Shughuli ikaanza rasmi siku ya ijumaa saa 12 jioni na kuendelea hadi saa 6.00 usiku, ambapo siku ya tarehe 13. april ilikua ikianza rasmi. Hapo mda huo, keki ikakatwa na kuchombwezwa na wimbo maarufu sana duniani wa kutakiana heri katika siku ya kuzaliwa; Happy Birthday To You...Happy Birthday To You.

Bw. Mwaja akakata keki yake akisaidiwa na watoto wake na mke wake kipenzi, Tamara. Wakiwamo dada zake, wajomba, mashangazi, binamu na marafiki zake wa mtaani kwake: The 15 Family, siku hiyo wakiongozwa na Papaa Mbwana, Makamu Mwenyekiti wa kikundi hicho.

Utamu ukanogeshwa na kinywaji kile mtu anapenda na msosi wa hatari. Katikati, Mdau nikawapa raha nikisaidiana na Dj wangu ajuaye kazi yake vyema, DJ Smol. Hapo ilikua ni bak to bak, ndombolo na ngwasuma, taarab na mduara, bongo flava na zile zetu za Zungukaaa zungukaaa! Utapendaaaa... Crew ya wapiga picha ikaongozwa na Muzee ya GX; Mgaza Kossey!! Chezeiyaaaa..

Songa nasi apa


Mr Paschal Mwaja akilishwa Keki na mkewe Bi Tamara; katika siku yake ya kuzaliwa



wadau









The dadaz






Dr Mgosha (kulia) na wadau



Kijana Danda (katikati) akiwa na Mdogo wake Mwaja












Kisimpo zaidi



Mwenyekiti akikaribisha wageni






Mama Mc (kushoto) akiserebuka na wadau



Full kujiachia






Bw Paschal Mwaja akimtambulisha mkewe kipenzi; Bi Tamara






The 15 Family wakitambulishwa



Mgaza, (kushoto) na Deo apo kati wakijiachia






Ze Kwaito



Ze Totoz; Khayla na mdogo wake






Pendo...a.k.a Mama Deo akisalimia



Deo na Ze champein






Apo Je?












Mjomba (kulia)









Mrs Senya na kiremba chake...






Muzee ya GX Mia!!



Hamiduuuuu



Mama Nyambere!



Nyambere na Papa Mbwana















Kunywa Toto Njuli eeeeh



Apo Jee?



Mambo ya Msingi






The Simbaz



Beatrice, Mama Junior na Muzee Nyamberee wa Kujirusha



Pendo na Beatrice



Saburi...mamaa Mc



Kitu cha familia na Mzee Kossey









Goden Machilika na wadau wa !5 Family















Haya na tuikateee kekiii






Dadiiii.....tamu eeee



Hongera Best!!



Asante babiiii



Waache wenyewe wajichumu eeee, mie nakula keki ya dadiiii



Mzee Kossey






Hongera Kipenzi; Kumbe na wewe ni leo!!



Ngoja na sie tusongeshe tu, mule mule!!



Na mwakani basi unikumbuke tena kwa birthday yetu!!



Hongera kaka






Shemejiiiiii



Dada



Mdogo wake









Wakilisha 15 Family



Hongera Mwenyekiti!



Wakadandia kimtindo; 3 years kwa ndoa!!



Na mie Je?



Na usingenipata kipande ya keki; kungekua hapatoshi apa!! Hongera kaka!






Ze Mgolole



Huyu ndo mume wangu eee!!






3 comments:

Anonymous said...

ma bubaa wapi?sijakuona

Christine Mwaja said...

Kweliii jamani wapi mamkubwaaa?...
Hongera sana Mungu akuzishie miaka mingi yenye afya,furaha na amani teleee....

De Danda said...

Ahsante sana Mc Ndimbo.... kazi nzuri! keep it up!!! Hongera kaka Paschal,,, miaka 50 si kitu kidogo! Mungu akujaalie ufikishe 100+ ukiwa na afya njema, kipato na roho safi kama ulivyo sasa, Happy Birthday Paschal Mwaja!!!!