Tuesday, July 16, 2013

John Weds Domina...A lovely Couple!!!!

Wakiwa na nyuso za furaha na tabasamu zao za asili kabisaaaa..wamefanana kimtindo ka mapacha wa mbali hivi, marafiki wa kitambo hao; John Augustino Gachinya na Domina Damian Mkangara wakaingia na shangwe za haaja katika ukumbi maridaaadi; The Best Choice pale Tabata Aroma, Dar es Salaam!

Ikiwa pia si siku maalum ya Bi Harusi, Domina, ambapo ilikua pia ni Birthday yake. Kwa ujasiri na upendo wake kwa mmewe huyo, bi harusi akakata keki yake kwanza na kumlisha mumewe huyo. Baadaye akawalisha wazazi wake na kufuatiwa na keki ya harusi.

Nderemo na hoi hoi zikafurumuka kutoka kwa wanyarwanda wale na wanyakyusa. Hapo ikawa ileee mambo ya kunyanyua na kutawanya mikono na huku miguu ikishtua namna hii...yaaani. Kwa ukaribu kabisa maharusi hao, ambao walifunga ndoa hiyo pale St Peters, wakasindikizwa na mabesti zao wa ukweli;Mr Mathias na Mkewe, Theresia wana wa Mbogoni.

Dada wa Bwana harusi, Mrs Pierita Shariff, akapewa shavu dodo na marafiki zake wa ofisini kwao, Wizara ya Mambo ya Ndani; Saburi a.k.a Mamaa Mc, Asha wa Asante na mmewe Nyamiela, Imani, Happy Mkwe, Jamali, Halima Mzungu, Ruanda, Hamida, Violet Mamaa wa Upako, Kuruthum, Agatha na wengineo.

Haikua taabu kwa Mtaaluma wa Burudani kuikosha hadhira ile, pamoja na kwamba shughuli ilichelewa kuanza kufuatia kukamilika kwa mambo ya protokali. Uhondo siomwa kulazimisha, ni NATURALLY!

Passion yetu ni kukuwezesha mteja wetu kupata burudiko la moyo....

Songa nasi kwa picha

Colours; Black,Silver na Red













































































HAAAAPI BIRTHDAY TO UUUU!!!!












Mathis na Kipenzi Chake, Theresia








































































































1 comment:

mama Radji said...

Hongera sana best. God bless u and ur wife. Karibu chama cha raha