Thursday, December 5, 2013

Bi Khadija Kayumbu's Night at Leopard Hall

Akiwa na confidence za hatari, mrembo wa ukweli mwenye tabasamu la asili, Bi Khadija Kayumbu, aliingia kwa kujimwayamwaya ndani ya ukumbi mzuuuri wa kupendeza-Leopard Hall, D'salaam, akiwa na hamu ya kuwaonesha wageni waalikwa na marafiki na ndugu wa ukweli yuleee alokonga moyo wake...mumewe; Bw Hussein Isike!
 
Kwa nderemo na hoi hoi, ndugu wakafurahi na kujumuika nae kwa furaha. Wakicheza, wakiimba na kufurahi naye.
 
Kama kawaida, McNdimbo Crew na Respect Djs wakawasha moto wa hatareeee. Ilikua raha mustarehee; kuanzia Nigeria, South, Bongo Flava, mambo ya Pwani na cha kupendeza ni Gospoz za ukweli. Maids wakaweka ladha saaaafi; Sarah, Fetty, Happy na Scola
 
Songa nasi kwa picha.
 
Color: purple, yellow na red

 





























 








 




 


 



No comments: