Friday, September 6, 2013

Here!! Deus Kapinga weds Juliet Malibate...wow!!

Hukuwahi kuona wamatengo wakiwa wamechangamka asee...Yaani It was so difficult to imagine wakerewe wanaweza kuleta mixture ya hatari katika burudani na kuwezesha high table iwe na tabasamu za hatari kutoka kwa wanandoa wapya kabisaaa; Bw Deus Cletus Kapinga na best friend wake na mkewe mrembo haswaa, Bi Juliet Malibate. Hapo ilikua ni mshikemshike mwanzo hadi mwisho wa kaaazi.

Wakiwa na marafiki zao wa karibu, Benitho na Angela-mkewe na maids walio na mtoko wa rangi mchanganyiko hapo baaasi...kuangalia huku wakutana na gromm's men wakiwa na suti zao nyeusi na tai zenye mchanganyiko wa crazy colours...ilikua ni mkusanyiko wa watanashati na warembo haswaaa.

wakaingia kwa mbwembwe...wakacheza kwa furaha...wakajiachia kwa raha...wakaserebuka ile mbaya like nobody is watching!! Dj Smol akawapagawisha, wakapagawaaaa...ukumbi ukarindima na kutikiswa na sauti ya biashara kutoka kwa mtaaluma mbobevu mwenye vionjo visivyochosha,,Mwana wa Mshikemshike-McNdimbo!! Weeeee....YOUR SATISFACTION IS OUR PASSION!!

Kimatengo na lindeku la asili kabisaaa...za zamani...za injili na uhondo halisi wa kwaito...halafu kama klabuuuu;;;;;; Tupooogo! na zile Personally!! wataka nini tena hapo...burudani mwanzo-mwisho apo...Furaha ilioje...

Songa nasi kwa picha

Colours; Purple na Pink






































































































































No comments: