Sunday, October 7, 2012

WHAT A PRE-WEDDING PARTY!! ANITA BISEKO @ LUKOLO SOCIAL HALL, D'SALAAM...SHUHUDIA

Akiwa amependeeza na tabasamu lake la asili na huku akionehsa umahiri wake wa kucheza muziki, aliingia na kuonesha designer wake na salooner walifanya kazi nzuri, ANITHA PALAPALA BISEKO alihitimisha shughuli yake ya kuagwa-Send off- pale katika ukumbi wa Lukolo, uliopo Tabata Jijini Dar es Salaam. Huku akiwa kasindindikizwa na mpambe wake, Bi Marysela Moshi, Bi Anitha alionekana mwenye furaha sana. Yote hiyo ni kwa kuwa ndoto zake za kuuacha ukapera na kuanza maisha yake mapya ya ndoa takatifu na wake wa ubani, Bw David Nkhungu zikionesha matumaini dhahiri. Utamu wa shughuli ulinogeshwa na wenyeji wa Ukerewe na kule kwa wakwe, Singida ambapo kulikua na wataalamu wa kucheza ile midundo ya asili ya huko. Tambaa nasi hapa ili uone yaliyojiri japo kwa uchache...

Color: Lemon Green & Pink

High Table

Mjikeki

Ukumbi Set Up

Bi Anitha (kushoto) na rafiki yake wakiingia kwa poz

Wakikaribishwa kwa burudani kama kawaida

Raaaaaaaha!

Kitu cha Maombi

Mwenyekiti Msaidizi, Mr Magoti akikaribisha rasmi wageni na kutambulisha wanakamati
Keki Tym

Kataaaa...kata!

Asanteni sanaaa
Kwa wazazi eee...
Muziki asili yake wapiiii...mziki ni burudiko la moyooo!
Thank you so very much..

Tuufurahiiii



Le Champaigne

Dushelele....

Jerusalem Vibrant Brothers nao walikuwapo

Anitha na David wake bnaaaa..

Mabestito.....


No comments: